Tuesday, July 3, 2012

MATUKIO MBALI MBALI ZIToD

 Wanafunzi kutokaSouth Africa wakiwa pamoja na walimu wao wakipata mlo wa kienyeji wa kizanzibar(Pilau ) ambayo waliianda wao katika mafunzo  yao ya kujifunza mapishi ya Kizanzibar yaliyofanyika chuoni Maruhubi.
 Mkurugenzi wa Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Bi Zulekha K.Khamis akitoa nasaha zake kwa wanafunzi pamoja na viongozi wa serekali ya wanafunzi iliyochaguliwa chuoni.
 Rais wa Serekali ya wanafunzi ya chuo cha Maendeleo ya Utalii (ZIToDSO)  Bw Bakar Kheri(alievaa suti na tai) akiwa na wapambe wake wakati akiingia ukumbini kwa ajili ya kula kiapo cha kuwa Rais wa ZIToDSO.
Mmoja wa wanafunzi kutioka South Afrika alieshiriki mafunzo ya siku mbili juu ya utayarishaji wa  vyakula vya Kizanzibar akipokea cheti chake kutoka kwa Mkurugenzi wa Chuocha Maendeleo ya Utalii Zanzibar,Bi Zuleikha K.Khamis

1 comment: