Monday, July 30, 2012

Mtaalamu kutoka PUM atembelea ZIToD

Mkurugenzi wa chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Bi Zuleikha .K.Khamis pamoja na walimu wa chuo wakimsikiliza mtaalamu kutoka shirika la Misaada la PUM kutoka UHOLANZI alipofika chuoni kubadilishana mawazo na wakufunzi wa chuo.

No comments:

Post a Comment