Sunday, August 26, 2012

NTA 4 WAANZA MITIHANI

Wanafunzi wa masomo ya awali ya fani mbali mbali za utalii (Basic Certificate-NTA 4) .Leo wameenza rasmi mitihani yao ya kumaliza masomo leo.Habari zaidi na picha zitafuata hapo baadae

Monday, July 30, 2012

Mtaalamu kutoka PUM atembelea ZIToD

Mkurugenzi wa chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar Bi Zuleikha .K.Khamis pamoja na walimu wa chuo wakimsikiliza mtaalamu kutoka shirika la Misaada la PUM kutoka UHOLANZI alipofika chuoni kubadilishana mawazo na wakufunzi wa chuo.

Printer Printer Printer

Mwalimu Mohd akipokea Printer kutoka kwa Mwalimu Jeury Ramadhan




ZIToD Kwenye MAI MOSI 2012 Aman-Zanzibar









Saturday, July 21, 2012

Matokeo Mbali Mbali ZIToD





Wanafunzi wa Fuoni Msingi watembelea ZIToD

 Wanafunzi kutoka skuli ya Fuoni Msingi wakifanya usafi katika maeneo ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Maruhubi ikiwa ni moja ya ziara za kamati ya mazingira ya skuli hiyo
 Wanafunzi wa Fuoni Primary School  wakifanya usafi ZIToD

 Baada ya kazi za usafi wanafunzi wa Fuoni Msingi wakipata viburudishaji vilivyoandaliwa kwa ajili yao na uongozi wa chuo cha Maendeleo ya Utalii Maruhubi
Walimu waliongozana na msafara wa wanafunzi wa skuli ya msingi ya Fuoni wakipata viburudishaji.

MITIHANI YA MWISHO WA MWAKA ZIToD

Wanafunzi  wa ngazi ya Diploma wa kozi za ICT and Accounting pamoja na diploma ya uongozi katika sekta ya utalii(DHTM) wakifanya mitihani yao ya kumaliza mwaka wa masomo 2011/2012
Wanafunzi wa ICT and Account ngazi ya Diploma (NTA 6) wakifanya mitihani chuoni Maruhubi.