Saturday, July 21, 2012

Wanafunzi wa Fuoni Msingi watembelea ZIToD

 Wanafunzi kutoka skuli ya Fuoni Msingi wakifanya usafi katika maeneo ya Chuo cha Maendeleo ya Utalii Maruhubi ikiwa ni moja ya ziara za kamati ya mazingira ya skuli hiyo
 Wanafunzi wa Fuoni Primary School  wakifanya usafi ZIToD

 Baada ya kazi za usafi wanafunzi wa Fuoni Msingi wakipata viburudishaji vilivyoandaliwa kwa ajili yao na uongozi wa chuo cha Maendeleo ya Utalii Maruhubi
Walimu waliongozana na msafara wa wanafunzi wa skuli ya msingi ya Fuoni wakipata viburudishaji.

No comments:

Post a Comment