Saturday, July 7, 2012

MAZOEZI YA UZIMAJI MOTO KWA WANAFUNZI WA ZIToD





Wanafunzi wa chuo cha Maendeleo ya Utalii  Maruhubi Zanzibar wakipata mafunzo ya kukabiliana na janga la Moto kutoka  kwa wataalamu wa kikosi cha uzimaji moto Zanzibar.Mafunzo hayo  ya  siku tano ya nadharia na vitendo yalifanyika chuoni  Maruhubi.

No comments:

Post a Comment