Saturday, July 21, 2012

ZIToD WAANZA MITIHANI YAO YA MWISHO

 Wanafunzi wa mwaka wa kwanza wa masomo ya Utalii na ICT kwa ngazi ya cheti ( NTA 5) wakifanya mitihani yao ya mwisho ambayo iliaza rasmi tarehe 16/07/2012.
 Wanafunzi wa kozi za FRONT OFFICE,FOOD BRODUCTION na ICT wakifanya mitihani yao katika ukumbi wa RESTAURANT
 Wanafunzi wa NTA 5 wakifanya mitihani yao ya kumalizia mwaka.
Kazi ikiendelea ya kujipima uwezo kwa wanafunzi wa ngazi ya cheti NTA 5

No comments:

Post a Comment