Tuesday, July 10, 2012

UWEKAJI JIWE LA MSINGI WA OFISI NA MAKTABA YA CHUO CHA MAENDELEO YA UTALII ZANZIBAR

Mh Makamo  wa pili wa rais wa Zanzibar .Balozi Seif Ali Iddi leo alijumuika na uongozi wote wa wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo pamoja  na wafanyakazi na wanafunzi  wa chuo  cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi wa Jengo jipya la chuo litakalotumika kwa matumizi ya ofisi na Maktaba.

 Picha na habari zaidi zitapataikana hapo baadae.

No comments:

Post a Comment